Nilikuwa nimechoka, nimeumizwa, na nguvu. Wakati wengine walicheka wakiniona nikishindwa, nilijua siku moja haki ingetendeka. Nilikuwa na biashara ndogo ya nguo, lakini jirani yangu ambaye tulianza naye pamoja alianza kunipaka tope mitaani, akiniita mchoyo, mbinafsi na mtu asiye na bahati. Alikuwa anafanya kila njia ili wateja wangu wahamie kwake. Nilinyamaza, nikajua Mungu yupo, lakini nilihisi nguvu zangu zinanipotea.
Baada ya miezi michache, mambo yakawa mabaya zaidi. Biashara yangu ilianza kudorora, wateja walipotea, na hata marafiki wachache by niliokuwa nao walinitenga. Nilihisi dunia imenigeuka. Nilijaribu kuomba msaada kila mahali lakini hakuna kilichobadilika.…CONTINUE READING