Nilivyofukuzwa Kazi Kwa Kudai Mishahara Iliyocheleweshwa, Lakini Tukio Hilo Likanifungulia Baraka Kubwa

Sikuwahi kufikiria kuwa siku moja ningefukuzwa kazi kwa sababu ya kusema ukweli. Nilikuwa nimefanya kazi katika kampuni moja ya usafirishaji kwa miaka mitatu. Nilikuwa mfanyakazi mtiifu, niliyejituma na kupenda kazi yangu. Lakini kwa miezi kadhaa, mishahara yetu ilikuwa ikicheleweshwa.

Siku moja nilijikaza nikamwendea meneja nikamuuliza kwa heshima, โ€œTunaweza kujua ni lini mishahara italipwa?โ€ Badala ya majibu, nilipokea barua ya kufukuzwa siku iliyofuata. Sababu โ€œutovu wa nidhamu.โ€ Nilishangaa. Nilihisi dunia imenigeuka.…CONTINUE READING