Kwa miaka sita, nilikuwa nikiishi kwenye chumba kidogo cha kupanga kilichojaa samani chache na ndoto nyingi kichwani. Kila siku nilipoamka asubuhi, nilijiambia siku moja nitakuwa na nyumba yangu mwenyewe. Lakini kadri miaka ilivyopita, ndoto hiyo ilianza kunikimbia.
Kila nikiweka akiba, jambo fulani lilitokea likanifanya nitumie pesa hizo. Wakati mwingine kazi inachelewesha mshahara, wakati mwingine wagonjwa nyumbani, au hata dharura zisizoisha. Nilihisi kama kuna mkono fulani unazuia maendeleo yangu.…CONTINUE READING