Nilivyookoa Ndoa Yangu Baada ya Migogoro Kila Usiku Kuhusu Pesa na Wivu

Ndoa yangu ilifika hatua ya kutisha. Kila usiku tulikuwa tukilumbana kuhusu kitu kipya, hasa pesa na wivu. Mume wangu alianza kubadilika ghafla alikuwa mkali, mwenye hasira, na mara nyingi hakutaka kurudi nyumbani mapema.

Nilijaribu kumwelewa, lakini kila nilipojaribu kuzungumza naye, mambo yaliharibika zaidi. Tulianza kulala migongo, hatukuongea tena kwa upole, na hata watoto walihisi baridi ya mapenzi ndani ya nyumba.…CONTINUE READING