Kuna wakati maisha yangu yalikuwa yamevurugika kabisa. Nilipoteza kazi, mali, na hata watu niliowaamini zaidi. Nilihisi kama kila kitu kilikuwa kinanipiga kwa wakati mmoja. Nilikuwa nikiamka kila siku nikiwa sina hamu ya chochote. Nilihisi nimechoka na maisha.
Marafiki walinigeuka, familia ilianza kuniangalia kwa macho ya huruma. Nilijaribu kujiweka sawa lakini mawazo yalinizidi. Nilianza kuwa mtu wa hasira, na wakati mwingine nilijikuta nikilia bila sababu. Nilikuwa nimejaa hofu na mawazo ya kushindwa.…CONTINUE READING